BREAKING

Thursday 29 September 2016

MAJALIWA AWASILI KIBITI KWA ZIARA YA SIKU MOJA

 Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum Zainab Vullu baada ya kuwasili kwenye  Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibiti kwa ziara ya siku moja wilayani humo Septemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Wabunge, Zaibab Vullu wa Viti Maalum (kulia) na  Ali Ungando wa Kibiti  baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibiti akiwa katika ziara ya  siku moja wilayani humo Septemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube