BREAKING

Wednesday 21 September 2016

MASHUJAAA KILI QUEENS WAREJEA KWA MBWEMBWE DAR...


KILI QUEENS WALIVYOTWAA TAJI LA CECAFA UGANDA


Timu ya Taifa ya Tanzania Bara Kili Queens imerejea jijini Dar es Salaam, ikiwa sama, huku ikiwa na furaha ya kutwaa Ubingwa wa kombe la CECAFA baada ya kuichapa kwa mabao 2-1 timu ya Kenya katika mchezo wa Fainali jana.

Kikisi hicho kinachonolewa na kocha Sebastiani Mkoma kimeleata heshima katika soka la wanawake kwa kuibuka mabingwa katika michuano hiyo ambayo ni mara ya kwanza kufanyika kwa upande wa wanawake.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube