BREAKING

Thursday 29 September 2016

MAJALIWA APOKEA MISAADA ZAIDI YA WAATHIRIKA WA TETEMEKO KAGERA

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya sh. 415,800,000/= kutoka  Chama cha  Waagizaji wakubwa  wa mafuta nchini  (TAUMA ) ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016







Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kupokea michango mbalimbali kwa ajili yawaathirika wa  tetemeko la ardhi mkoani Kagera, ofisini kwake jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube