BREAKING

Tuesday 20 September 2016

TERRY APEWA MAZOEZI MAALUM TAYARI KUWAKABILI YA ARSENAL


Nahodha wa Chelsea, John Terry ameanza maandalizi makali kuhakikisha anaivaa Arsenal wikiendi hii.

Terry amekuwa majeruhi na kuifanya safu ya ulinzi ya Chelsea kukosa Kujiamini muda wote katika safu hiyo ambapo Sasa anapewa mazoezi maalum, ili awe fiti na kuwavaa vijana wa Arsenal Wenger.

Chelsea itakuwa dimbani kuwavaana na  Arsenal na italazimika kufanya vizuri baada ya kupoteza mechi iliyopita kwa kufungwa na Liverpool.


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube