Sunday, 31 January 2016
MATUKIO YA PICHA KATIKA KIKAO CHA BUNGE LEO MJINI DODOMA
Baadhi ya wabunge wakiwasili katika ukumbi wa bunge kuhudhuria kikao cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Naibu Spika Mhe Dkt Tulia Ackson akiongoza kikao...
KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA TANZANIA STANDARD NEWSPAPER LIMETED CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR Dar es salaam
Mhariri Mtendaji wa magazeti ya serikali ya Daily News, Habari Leo na SpotiLeo, Gabriel Nderumaki akifungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi jijini Dar es Salaam jana kilichokuwa...
15:59
ZIARA YA WANAFUNZI WA CHUO CHA ULINZI WA TAIFA MAKAO MAKUU YA POLISI
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akizungumza na Kaimu Mkuu wa Chuo cha ulinzi wa Taifa (NDC) Brigedia Jenerali Jairo Mwaseba wakati wa ziara ya kimafunzo...
15:55
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA UKOMA DUNIANI
Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Watoto, na Wazee Mhe.Ummy Mwalimu akiongea an waandishi wa habari (Hawapo Pichani) leo Mjini Dodoma katika kuelekea kilele...
15:52
Saturday, 30 January 2016
Thursday, 28 January 2016
TFF YAPATA MSIBA MZITO...
TANZIA: SWAI AFARIKI DUNIA
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini
(TFF) na Mwenyekiti wa Chama cha Mpira...
17:55
CUF NA AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR

Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la THE CIVIC UNITED FRONT (CUF – Chama
Cha Wananchi), likiwa ndiyo chombo cha juu cha maamuzi katika Chama
baada ya Mkutano Mkuu wa...
17:44
PICHA MBALIMBALI ZIKIMUONYESHA WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIBADLISHANA MAWAZO NA BAADHI YA WABUNGE NJE YA UKUMBI WA BUNGE MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jini Dodoma Januari 28,
2016. Kutoka kushoto ni Jumanne Kishimba...
17:32
Wednesday, 27 January 2016
DK. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA BALOZI WA UFARANSA HAPA NCHINI, MAKAO MAKUU YA CCM, DAR ES SALAAM
Katibu
wa Halmashauri Kuu ya Taifa, anayeshughulika na Mambo ya Siasa na
Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) Ndugu Asha-Rose Migiro, akimkaribisha
Balozi wa Ufaransa...
15:33
Subscribe to:
Posts (Atom)