Wednesday, 31 January 2024
WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA MATAIFA 8 KUSHIRIKI TAMASHA LA PASAKA 2024
Kuelekea Tamasha la Pasaka mwaka 2024 Alex Msama Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion waandaaji wa Tamasha hilo amethibitisha waimbaji wa muziki wa injili kutoka mataifa ...
Thursday, 25 January 2024
TAMASHA LA PASAKA 2024 KUANZIA JIJINI DAR ES SALAAM,MACHI 31

Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion Alex Msama ametangaza Tamasha la Pasaka mwaka 2024 linatarajia kuanza kufanyika katika mkoa wa Dar es Salaam siku ya Pasaka...
14:36
Monday, 22 January 2024
SPORTPESA WAIUNGA MKONO TAIFA STARS AFCON KWA PROMOSHEN

Afisa wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliano SportPesa Lydia Solomon, akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Sportpesa...
16:52
RAIS SAMIA :JESHI LA WANANCHI JWTZ JIPANGENI UCHAGUZI UNAKUJA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Lugalo Jijini Dar es Salaam kwa ajili...
16:30
Monday, 15 January 2024
KATIBU MKUU MPYA CCM USO KWA USO NA RAIS SAMIA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu...
15:37
EMMANUEL NCHIMBI KATIBU MKUU CCM..

Emmanuel Nchimbi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM).Akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Daniel Chongolo ambaye alijiuzu...
14:14
KAMISHNA MABULA AFANYA UKAGUZI WA KARAKANA YA KISASA MANYONI, ATOA MAELEKEZO MAHSUSI

Kamishna wa Uhifadhi wa TAWA Mabula Misungwi Nyanda ameeleza kufurahishwa kwake na ubora wa viwango vya ujenzi wa karakana ya matengenezo ya magari na mitambo iliyojengwa...
11:32
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU CCM
.jpeg)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu...
10:52
Thursday, 11 January 2024
MKAZI WA KAGERA OLIVIA PASTORI AKABIDHIWA MIL. 10 ZA MAJIFTI DABODABO KUTOKA TIGO

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Joseph Mutalemwa(kulia) akimkabidhi mfano wa hundi Shilingi milioni kumi Mshindi wa Magifti Dabodabo mkazi wa kijiji cha Rushaka, Kitongoji...
14:46
Tuesday, 9 January 2024
MLOGANZILA WAZINDUA HUDUMA YA MAFUNZO YA WAGONJWA WA KIHARUSI

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa kushirikiana na Taasisi ya Kiharusi Duniani (The World Stroke Organization) imezindua mafunzo maalumu kwa wataalamu wanaoshughulikia...
17:29
TIGO WADHAMINI WA MAONYESHO YA KIBIASHARA ZANZIBAR
Mkurugenzi wa kanda Tigo Zantel, Aziz Said Ali, akimuelezea Mshafanyabiashara wa Mwani, Jaha Haji Khamis kuhusu huduma ya Mjasiriamali box katika maonesho ya...
15:37
Saturday, 6 January 2024
DKT. BITEKO- TUYAENZI NA KUYALINDA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR
.jpeg)
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Wananchi kuendelea kuyaenzi, kuyalinda na kuyaishi kwa dhamira ya dhati, Mapinduzi Matukufu...
15:41
Friday, 5 January 2024
MAGIFTI DABODABO YA TIGO -MUUZA MATUNDA ALAMBA MIL.5...

Kampeni ya Magifti Dabodabo inayoendeshwa na Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo, imewakabidhi mamilioni yao washindi wa kampeni hiyo waliopatikana wikiendi iliyopita.Katika...
16:33
Wednesday, 3 January 2024
SERIKALI YANUFAIKA NA ZAIDI YA BILIONI 600.…

Serikali imesaini mikataba mitano ya uwekezaji Mahiri kwa wawekezaji wa wanyama pori nchini ambapo Serikali itanufaika na zaidi ya shilingi bilioni mia sita tisini za kitanzania ...
15:18
Tuesday, 2 January 2024
KINANA AWASILI RUANGWA, AHUTUBIA MKUTANO MKUU WA CCM WILAYANI HUMO.

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana akiwa ameambatana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ambaye pia ni Mbunge wa Ruangwa, Kassim...
17:02
Subscribe to:
Posts (Atom)