Monday, 29 October 2018
WATANO WAFARIKI DUNIA KWENYE HELIKOPTA YA MMILIKI WA LEICESTER CITY
Watu watano wamefariki dunia pamoja na mmiliki wa klabu ya Leicester City ya England, bilionea Vichai Srivaddhanaprabha baada ya helikopta waliyokuwa wamepanda...
KAGERE, OKWI, KAPOMBE WE ACHA TUU, WAMPAPASA MASAU BWIRE......TAIFA

Baada ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Ruvu Shooting uliochezwa jana Uwanja wa Taifa, umeonekana kuwachanganya viongozi wa Simba kwa furaha, Ofisa habari...
08:18
JAMII YA WABARBAIGI WAPATA HATI MILIKI ZA KIMILA ZINAZOWASAIDIA KUPATA MAKAZI YA KUDUM
Diwani wa kata ya Idodi Onesmo Mtatifikolo ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa utoaji wa hati hizo katika kijiji cha Kitisi ambapo jamii ya wabarbaigi wanaishi maeneo...
08:16
Friday, 12 October 2018
DKT TIZEBA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI HATI YA MARIDHIANO UKOPESHAJI WA MATREKTA
Waziri wa kilimo Mhandisi Dkt Charles Tizeba akizungumza mara baada ya kushuhudia utiaji saini hati ya makabidhiano ya ukopeshaji wa matrekta kwa vyama vya ushirika vya...
08:25
DSTV WAENDELEA KUWAPA RAHA WATANMZANIA ,MECHI YA STARS NA CAPE VERDE ITAKUWA LIVE SUPERSPORT10

Habari njema kwa kuwa Watanzania wataishuhudia timu ya taifa, Taifa Stars Mubasharaa ikiivaa Cape Verde ugenini, kesho.
Mechi hiyo ya kuwania kufuzu...
08:21
Wednesday, 10 October 2018
MAWAZIRI WA SEKTA YA KILIMO WATUAMA JIJINI DODOMA KUJADILI UTEKELEZAJI WA ASDP AWAMU YA PILI
Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na walemavu Mhe Jenista Mhagama (Mb) akizungumza jambo wakati akifungua kikao cha Mawaziri wa sekta za kilimo...
17:48
Tuesday, 9 October 2018
STARS KUPAA KUELEKEA CAPE VERDE USIKU LEO..

Serikali imewaomba watazania kuendelea kujitokeza Kwenda nchini Cape Verde kuishangilia timu ya taifa ya Tanzania,Taifa stars Akizungumza na wandishi wa...
08:29
KONGAMANO LA AJIRA BINAFSI LAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Siriel Mchembe, akifungua kongamano la siku moja la ajira binafsi mjini Morogoro juzi, lililoandaliwa na Taasisi ya WICOF inayojishughulisha...
08:26
Subscribe to:
Posts (Atom)