BREAKING

Tuesday 9 October 2018

STARS KUPAA KUELEKEA CAPE VERDE USIKU LEO..


Serikali imewaomba  watazania kuendelea kujitokeza Kwenda nchini Cape Verde kuishangilia  timu ya taifa ya Tanzania,Taifa stars 

Akizungumza na wandishi wa habari jinin Dar es salaam Mkurugenzi wa maendeleo ya michezo nchini Yusuph Singo amesema bado nafasi ipo wazi kwa watanzania kusafiri na timu kesho kuelekea Cape Verde.

Kwa upande wake makamu wa raisi wa TFF amewatoa hofu watanzania kuhusiana na maandalizi ya mchezo huo.

Stars itaondoka kesho saa tano usiku na ndege ya serikali kuelekea nchini Cape Verde na itashuka dimbani kuwakabili wenyeji hao oktoba 12.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube