BREAKING

Thursday 27 April 2017

ORUSSIA DORTMUND YAITUPA NJE BAYERN MUNICH KOMBE LA UJEREUMAN

















Wachezaji Marco Reus na Pierre-Emerick Aubameyang na Ousmane Dembele, wameiwezesha timu yao ya Dortmund kutinga hatua ya fainali ya kombe la ujerumani baada ya kuilaza Bayern Munich jumla ya mabao 3-2 ugenini.

Reus ndiye aliyeanza kuifungia bao la kwanza timu yake katika dakika ya 19,kabla ya  aubameyang kufunga la pili dakika ya 69 na la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74.

Bayern wenyewe walipata mabao yao kuptia wachezaji wake Javi Martinez dakika ya 28 na Mats Hummels dakika ya 41, mabao ambayo hata hivyo hayakusaidia kwani Dortmund walikaa imara kuhakikisha wanaibuka na ushindi.




No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube