BREAKING

Thursday 20 April 2017

MASIKINI BARCELONA WATOLEWA LIGI YA MABINGWA ULAYA, YASHINDWA KUIFUNGA JUVE WAKIWA KATIKA DIMBA LAO LA CAMP NOU















FC Barcelona imeng'olewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya sare ya bila mabao dhidi ya Juventus.

Licha ya kuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Camp Nou, Barcelona ilishindwa kushinda na kufanya Juventus ya Italia isonge mbele kwa jumla ya mabao 3-0, ushindi walioupata mjini Turin katika mechi ya kwanza.

Mabao mengine ya Monaco yalifungwa na nahodha wake, Radamel Falcao na Varele Germain akahitimisha bao la tatu.


VIKOSI
Barcelona: Ter Stegen 7, Roberto 8 (Mascherano, 78), Pique 8, Umtiti 7, Alba 7, Busquets 8, Rakitic 6 (Alcacer, 58), Iniesta 8, Neymar 7, Suarez 7, Messi 7
Subs not used: Cillessen, Denis Suarez, Digne, Andre Gomes, Alena
Booked: Iniesta, Neymar 


Juventus: Buffon 8, Dani Alves 8, Bonucci 9, Chiellini 9, Alex Sandro 8, Khedira 7, Pjanic 8, Cuadrado 8 (Lemina, 84), Dybala 7 (Barzagli, 75), Mandzukic 7, Higuain 7 (Asamoah, 88)
Subs not used: Neto, Benatia, Lichtsteiner, Rincon
Booked: Chiellini, Khedira 
Referee: Bjorn Kuipers (Holland)
Player ratings by Pete Jenson at the Nou Camp 

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube