BREAKING

Thursday 20 April 2017

MASWALI NA MAJIBU BUNGENI,NA JINSI MAMA RWAKATARE ALIVYOKARIBISHWA BUNGENI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma, Aprili 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza swali wakati alipoulizwa na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, bungeni mjini Dodoma, Aprili 20, 2017. 


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Aprili 20, 2017. Wengine kutoka kushoto ni  Wabunge wa Viti Maalum, Cecilia Pareso, Catherene  Magige na Joyce Mukya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)





No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube