BREAKING

Thursday 20 April 2017

MWANARIADHA MTANZANIA ALPHONCE SIMBU ATUA LONDON ATAMBA KUREJEA NA MEDALI

Mwanariadha pekee wa Tanzania anayetarajiwa kushiriki mashindano ya London Marathon London jumapili hii Alphonce Simbu amewasili Uingereza tayari kwa mashindano hayo ambayo yanayotarajiwa kushirikisha wanariadha mashuhuri duniani.

Alphonce, ambaye ni Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika mashindano maarufu ya Standard Chartered Mumbai Marathon, anatarajiwa kuwapa wakati mgumu manguli wa riadha ulimwenguni wanaoshiriki mbio hizi za London akiwemo Muethiopia Kenenisa Bekele pamoja wa wengine kutoka Ethiopia na Kenya.



No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube