BREAKING

Thursday 5 November 2015

BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA KWA RAIS MPYA WA AWAMU YA TANO,JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI PAMOJA NA MAKAMU WA RAIS BI. SAMIA SULUHU HASSAN,LEO SHEREHE ZILIZOFANYIKA KATIKA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM,JAKAYA NAYE AWAAGA WANANCHI KWA FURAHA ...

 Rais mpya wa awamu ya tano Dk.John Pombe Magufuli, akionyesha ngao pamoja na Mkuki mara baada ya kuapishwa


 Rais Mpya wa Tanzania awamu ya Tano DK John Pombe Magufuli akikagua Gwaride baada ya kula kiapo cha kulitumikia taifa.


 Makamu wa Rais Bi Samia Suluhu Hassan, akisubiri kula kiapo 


 Rais wa awamu ya tano DK John Pombe Magufuli akisaini mara baada ya kula kiapo cha kulitumikia taifa wanaoshuhudia ni Jaji Mkuu Othuman Chende pamoja na ,Katibu Mkuu kiongozi Balozi. Ombeni Sefue, na kushoto mwishoni ni Rais Mstaafu anayemaliza muda wake Dk. Jakaya Kikwete akionyesha nyuso ya furaha 


 Rais mpya wa awamu ya tano DK John Pmbe Magufuli akiapa 


 Makamu wa Rais awamu ya Tano Bi Samia Suluhu Hassan akiapishwa na Jaji Mkuu Othman Chande



 Rais Mpya wa Tanzania awamu yaTano DK John Pombe Magufuli akikagua Gwaride baada ya kula kiapo cha kulitumikia taifa.


 Rais wa awamu ya nne, anayemaliza muda wake wa uongozi akiwa na makamu wake wa Urais Mohamed Ghalib Bilal, wakiwapungia wananchi mikono ya kwa heri baada ya kuwatumikia kwa miaka 10.


 Rais Mstaafu DK Jakaya Kikwete akifurahia jambo pamoja na Makamu wake DK Bilal
 Rais Mstaafu DK Jakaya Kikwete akiwapungia wananchi mkono kabla ya kumkabidhi kijiti rais wa awamu ya tano Dk John Pombe Magufuli



No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube