BREAKING

Thursday 19 November 2015

BREAKING NEWZ:HUYU NDIYE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

                                                
     Dkt.Tulia Ackson Mwansasu

Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt .Tulia Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11, kwa kura 250 sawa na asilimia 71.2% dhidi ya mpinzania wake Mh.Magdalaena Sakaya aliyepata kura 101, sawa na 28.8%. 

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube