BREAKING

Monday 12 June 2023

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE .SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA MAKATIBU WA KIMATAIFA WA MPANGO WA DHARURA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mratibu wa Kimataifa wa Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani katika mwitikio wa kupambana na Ukimwi (PEPFAR) na Mwakilishi Maalum wa Serikali ya Marekani katika masuala ya Diplomasia ya Afya Balozi Dkt. John Nkengasong,  pamoja na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Kimataifa la kupambana na Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund) Bw. Peter Sands,  Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
tarehe 12 Juni 2023.





 

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube