BREAKING

Wednesday 7 June 2023

RAIS MWINYI AKUTANA NA JUMUIYA YA WAZEE ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Wastaafu na Wazee Zanzibar (JUWAZA) ukiongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Bw.Aboud Talib Aboud (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika  ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu wa Jumuiya wa Wastaafu na Wazee Zanzibar (JUWAZA) Bi. Salama Kombo akizungumza na kuelezea kazi za jumuiya hiyo na kutoa shukrani kwa kuongeza kwa Pencheni Jamii kwa Wazee, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-6-2023 na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Bw.Aboud Talib Aboud

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube