BREAKING

Wednesday 7 June 2023

MATUKIO YA MHE. WAZIRI MKUU BUNGENI


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Alphayo Kidata (kushoto) na Mkurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Sabasaba Muyanja kwenye viwanja wa vya Bunge jijini Dodoma,  Juni 7, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata (kushoto)  na mbunge wa Kilombero, Abubakar Asenga  kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 7, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Janet Masaburi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 7, 2023. Kushoto ni Mbunge wa Nsimbo, Anna Lupembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Janet Masaburi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 7, 2023. Kushoto ni Mbunge wa Nsimbo, Anna Lupembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na walimu kutoka jimbo la Kilombero kwemye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 7, 2023. Kulia kwake ni Mbunge wa Kilombero, Abubakar Asenga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube