BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Tuesday, April 08, 2025

Thursday, 5 July 2018

MULTICHOICE TANZANIA YAIBUKA KIDEDEA SABASABA


1

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa (Kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Uhusiano wa MultiChoice Tanzania Johnson Mshana cheti na kombe baada ya banda la DStv kuibuka kidedea katika kundi la waonyeshaji wa huduma na bidhaa za teknolojia ya Mawasiliano.

2

Wafanyakazi na mawakala wa MultiChoice Tanzania wakishangilia ushindi mara baada ya banda lao la DStv kuibuka banda bora katika kundi la waonyeshaji wa huduma na bidhaa za teknolojia ya Mawasiliano katika maonyesho ya 42 ya kimataifa ya biashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam

3

Mkuu wa Uhusiano wa MultiChoice Tanzania akiwa na balozi maalum wa DStv Nancy Sumari wakionyesha cheti na Kombe walivyokabidhiwa kampuni ya MultiChoice Tanzania baada ya kuibuka banda bora katika kundi la waonyeshaji wa huduma na bidhaa za teknolojia ya Mawasiliano katika maonyesho ya 42 ya kimataifa ya biashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube