Monday, 30 July 2018
NGULI WA MUZIKI AFRIKA YVONNE CHAKA CHAKA KUFANYA KAZI NA MSANII TANZANIA
Yvonne Chakachaka kufanya kazi na msanii mwingine kutoka Tanzania.
Miezi kadhaa iliyopita King wa Bongo...
Thursday, 26 July 2018
SIMBA WAPAMBANA NA MVUA KUBWA UTURUKI.....

Mvua kubwa yenye ukungu uliopita kiasi, radi na ngurumo za kutisha, juzi vilisitisha mazoezi ya mabingwa wa Tanzania, Simba.Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems...
08:20
KUMBUKUMBU YA SIKU YA MASHUJAA, AMANI NA UZALENDO KWA TAIFA LETU

Leo ni Julai 25 siku ya Maadhimisho ya Mashujaa waliopambana kwa hali na mali kutetea nchi yetu ya Tanzania katika maeneo mbalimbali.
Hawa walimea uzalendo mkubwa,...
08:18
Monday, 23 July 2018
SIMBA WAANZA KUJIFUA UTURUKI CHINI YA KOCHA MPYA MBELGIJI PATRICK AUSSEMS

Kikosi cha Simba SC kimewasili salama mjini Istanbul, Uturuki baada ya kuondoka Aflajiri ya Jumapili kuweka kambi ya muda wa wiki mbili kujiandaa na...
10:36
MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA MKOANI SONGWE...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan yupo Mkoani Songwe katika ziara ya kikazi ya siku tano....
09:46
Thursday, 19 July 2018
DSTV WALIVYOJIACHIA WAKATI WA UZINDUA WA MSIMU WA TATU WA HARUSI YETU

Kampuni ya Multichoice Tanzania jioni ya leo imezindua msimu mpya wa Kipindi cha Harusi yetu ambacho hurushwa katik king’amuzi chake kwenye chanel namba 160.
Akizungumza...
10:11
Saturday, 14 July 2018
MOTO HAUZIMWI DSTV .........

MOTO HAUZIMWI……….
Kutoka DStv tunakuambia hivi, moto
hauzimwii
Utakuwa ni wakati wa burudani ya aina
yake ,kuanzia Julai 13 hadi 31, kila mteja wa DStv ambaye akaunti...
13:20
WAZIRI KALEMANI AWASHA UMEME KIJIJI CHA KISANGA

Waziri
wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akiwasha umeme katika Kijiji cha Kisanga Kata
ya Kisanga wilaya ya Sikonge tarehe 12 Julai, 2018. Wengine wanaoshuhudia...
13:06
Friday, 13 July 2018
DKT TIZEBA AITAKA CRDB KULIPA FEDHA ZA USHIRIKA (KCU)
Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt Charles Tizeba akisisitiza jambo wakati akizungumza na wadau wa Kahawa Wilayani Muleba wakati wa ziara ya siku tatu ya kikazi Mkoani Kagera,...
09:29
Monday, 9 July 2018
DKT TIZEBA NA DKT MABULA WAMALIZA MGOGORO WA ARDHI WA CHAMA CHA USHIRIKA ULIODUMU KWA MIAKA 17
Waziri wa Kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba akizungumza jambo kwa msisitizo wakati wa mkutano wa utatuzi wa mgogoro baina ya Chama Cha Ushirika Nyamatongo dhidi ya Mwenyekiti...
09:24
Subscribe to:
Posts (Atom)