BREAKING

Wednesday 6 June 2018

MULTICHOICE TANZANIA YAPONGEZWA KWA MCHANGO WAO KATIKA KUTANGAZA FILAMU ZA KITANZANIA

 Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Harison Mwakyembe akimkabidhi Mkuu wa Uhusiano wa MultiChoice Tanzania Johnson Mshana tuzo maalum iliyotolewa na Bodi ya Filamu Tanzania kutambua mchango mkubwa wa kampuni hiyo katika sekta ya filamu hapa nchini. Hiyo ilikuwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya ya Ushauri ya Bodi ya Filamu Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu Wizara Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Suzan Mlawi na mwenyekiti mpya wa bodi hiyo Prof. Frowin Nyoni.


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube