BREAKING

Friday 5 January 2018

SHOZA ,BABU SEYA, PAPII KOCHA WAUNGANA KUWALETA WATANZANIA KATIKA DANSI...WATEMBELEA STUDIO YA WANENE






Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Juliana Shoza, amesema kuwa wasanii nguli wa muziki wa dansi, ambao hivi karibuni walipata msamaha wa rais Nguza Viking pamoja na mwanaye Papii Kocha ,kwa lengo la kutaka kujua mipango yao ya kisanaa kwa sasa baada ya kuwa huru.

Amesema katika mazungumzo hayo wasanii hao wamesema kuwa wapo tayari kurudi kufanya muziki mzuri na kurejesha furaha ya mashabiki katika muziki wa dansi ambao kwa miaka mingi waliikosa.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube