BREAKING

Friday 19 January 2018

SHONZA:HATUTORUDI NYUMA KATIKA KUSIMAMIA MAADILI

  Naibu Wazir wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (kushoto) akizungumza viongozi wa taasisi ya Malezi Bora Foundation inayoundwa na wasanii wa filamu nchini (hawapo pichani) walipomtembelea ofisini kwake leo mjini Dododma. Kulia ni mtunza fedha wa taasisi hiyo Bi. Susan Natasha.

  Naibu Wazir wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (wakwanza kushoto) akizungumza na viongozi wa taasisi ya Malezi Bora Foundation inayoundwa na wasanii wa filamu nchini walipomtembelea ofisini kwake leo mjini Dododma. Kutoka kushoto ni Bi. Susan Natasha, Bi. Shamsa Danga, Bi. Heriety Chumira na Bi. Farida Sabu.

  Naibu Wazir wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (waatatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa taasisi ya Malezi Bora Foundation inayoundwa na wasanii wa filamu nchini walipomtembelea ofisini kwake leo mjini Dodoma. Kutoka kushoto ni Bi. Heriety Chumira, Bi. Susan Natasha, Bi. Shamsa Danga, Bi. Farida Sabu na Bi. Pili Lwey.


Mtunza fedha wa taasisi ya Malezi Bora Foundation Bi. Susan Natasha Humba (kulia) akimfanunulia jambo Naibu Wazir wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza  kushoto) wakati viongozi wa taasisi hiyo walipomtembea Naibu Waziri huyo ofisini kwake leo mjini Dodoma.
(PICHA NA OCTAVIANA F. KIMARIO-WHUSM)
WHUSM

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube