BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Monday, April 07, 2025

Thursday, 28 September 2017

YANGA WANAJIFUA ZAIDI YA SAA TATU, WANAJIWINDA NA MTIBWA SUGAR -LIGI KUU TANZANIA BARA










Na Said Makala

Mabingwa wa soka Tanzania, Yanga wameendelea kujiweka sawa kwa ajili mechi ijayo dhidi ya Mtibwa Sugar,Jumamosi wakifanya mazoezi yao katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam..

Channel ten imewashuhudia wachezaji hao katika Mazoezi hayo wakiwa chini ya Kocha George Lwandamina pamojan na wasaidizi wake Shadrack Nsajigwa na Juma Pondamali.

Kikosi cha Yanga kimecheza mechi nne na kushinda mbili, sare mbili,hivyo kimejikusanyia pointi nane sawa na watani wao Simba, hivyo watahakikisha wanashinda katika mchezo wao ujao ili kujiweka kileleni mwa Ligi Kuu ya tanzania bara.

Kikosi hicho kitamkosa kiungo wao nyota Papy Tshishimbi katika mechi ijayo kutokana kuwa na adhamu ya kadi ya Kadi tau za njano na kuweka rekodi mbaya kwani ndani ya merchi nne amepata kadi tatu.

Kadi yake ya tatu alipigwa katika mechi dhidi ya Ndanda FC, mechi ambayo Yanga ilifanikiwa kushinda kwa bao 1-0.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube