BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Thursday, April 10, 2025

Monday, 4 September 2017

DANNY MRWANDA JEURI SANA, ASEMA SOKA BET WAMEWATIA NJAA YA MAFANIKIO SASA....NI BAADA YA KUPATA UDHAMINI MNONO.

Danny Mrwanda akizungumza katika hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajiliya kusaini mktaba wa udhamini,Kati ya Maji Maji na Soka Bet.

Mshambuliji wa Kimataifa aliyewahi kutamba pia na timu ya Taifa ya Tanzania ambaye kwa sasa anaitumikia timu ya MajiMaji ya Songea Danny Mrwanda, ametamba kwamba baada ya klabu yao kupata udhamini mnono wa milioni 150, kutoka Soka Bet sasa wao ni kucheza Kandanda ili kupata matokeo.

Kauli hiyo ameitoa wakati viongozi wa klabu yake walivyokuwa wakisainiana mkataba wa kudhamini klabu yao kwa mwaka mmoja ,ambapo mekiri sasa ,kazi iliyobaki ni kusakata kandanda pekee Uwanjani.

Nyota huyo aliyewahi kung'ara zaidi kimataifa ,amesema kikosi cha Maji Maji msimu huu kimeandaliwa vyema na wapo katika kuhakikisha wanapambana katika,Ligi Kuu ya Tanzania Bara hadi kieleweke.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube