Kampuni ya GSM imetoa promosheni kwa wateja wake watakaonunua bidhaa kwa shilingi laki moja ambao wataingizwa kwenye droo maalumu itakayoa washindi atakaosafiri kwenda Zanzibar.
Wateja watakaoflka katika maduka yao kununua bidhaa mbalimbali zenye mapunguzo kama nguo za watoto ambazo bei yake imepunguzwa kwa asilimia 15, wataingizwa kwenye droo maalumu na mshindi kupatiwa zawadi.
No comments:
Post a Comment