Thursday, 31 August 2017
MANGULA AKUTANA NA NAIBU WAZIRI WA CPC
Makamau Mwenyekiti wa CCM-Bara Philipo Mangua akimkaribisha Naibu Waziri za Mambo ya Nje
wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) Xu Luping, katika Ofisi Ndogo...
Tuesday, 29 August 2017
MULTICHOICE YATANGAZA NEEMA KWA WATEJA WA DSTV! YAFYEKA BEI ZA VIFURUSHI VYOTE
Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Tanzania Maharage
Chande akitangaza punguzo kubwa la bei kwa vifurushi vyote vya DStv bei
zitakazoanza kutumika rasi Septemba...
17:48
Monday, 28 August 2017
HIZI NDIO MECHI KUBWA ZA WATANI WA JADI BARANI AFRIKA

Miongoni mwa matukio yanayosisimua zaidi kwenye mchezo wa soka ni mipambano ya watani wa jadi. Katika nchi nyingi barani Afrika ukiwauliza kwa harakaharaka mashabiki...
13:38
Friday, 25 August 2017
GSM MALL WAJA NA PROMOSHENI YA WIN GSM MALL EID FAMILY TRIP TO ZANZIBAR

Kampuni ya GSM imetoa promosheni kwa wateja wake watakaonunua bidhaa kwa shilingi laki moja ambao wataingizwa kwenye droo maalumu itakayoa...
09:44
Wednesday, 23 August 2017
DKT. KALEMANI AITAKA TANESCO KUUNGANISHA NGUVU KUKAMILISHA MIRADI YA UMEME YA KURASINI NA KIMBIJI

NAIBU
Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani,(pichani anayeongea), amelitaka Shirika la Umeme
Tanzania TANESCO kuunganisha nguvu ili kuhakikisha wanakamilisha...
12:50
Tuesday, 22 August 2017
FLOYD MAYWETHER Jr. vs CONOR MACGREGOR JUMAPILI HII LIVE DSTV

DStv Inakuletea chaneli maalum itakayorusha Matukio kuhusu pambano la “The Money Fight”
Ule mpambano unaosubiriwa kwa hamu dunia nzima uliopewa jina la “The Money...
17:31
Monday, 21 August 2017
WANACHAMA 1,216 WAPITISHA UAMUZI WA KLABU YAO KUANZA KUENDESHWA KIMFUMO WA HISA...

Wanachama 1,216 wa klabu ya Simba, leo wamepitisha uamuzi wa klabu yao kuanza kuendeshwa kwa mfumo wa hisa.
Mwanachama mmoja pekee katika mkutano...
16:12
Subscribe to:
Posts (Atom)