BREAKING

Thursday 30 March 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA KATIKA MGODI WA BUZWAGI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga  Josephine  Matiro katika Uwanja wa Ndege wa Mgodi wa  Buzwagi 27March2017 katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga  Zainabu  Telaki Viongozi hao walifika kumpokea Waziri Mkuu alipofika kuangalia shughuli za Mgodi wa Buzwagi uliopo wilaya Kahama Mkoa wa Shinyanga 



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia Sampuli ya Mchanga wenye Dhahabu unao safirishwa Nnje ya Nchi na Mgodi wa Buzwagi  uliopo Kahama Mkoani Shinyanga  Waziri Mkuu Alifika katika Mgodi huo 27march2017 kuangalia na kuchukua Sampuli ya Mchanga  ili Serekali Ikaupime katika Maabara za Serekali
 

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube