BREAKING

Wednesday 3 April 2024

NI JOKATE TENA UVCCM VIJANA..


Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemteua Jokate Mwegelo kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) akichukua nafasi ya Fakii Lulandala ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Simanjiro.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube