BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Thursday, April 10, 2025

Tuesday, 2 April 2024

DSTV WAZINDUA KAMPENI YA MFALME WA BOMA YAWEKA KIHISTORIA ...





Afisa maendeleo bodi ya Filam nchini Simon Peter, amewaka watunzi wa Filam nchini kuwa wabunifu ili kuendelea kutengeneza soko kubwa la ajira kwa wasanii huku akiwakumbusha wasanii kuendelea kusajili kazi zao za sanaa katika Bodi ya filam

Hayo ameyasema wakati wa uzinduzi wa Tamthiliya ya Jiya mfalme wa Boma , ambayo imeshirikisha wasanii mbalimbali ikibeba maudhui ya kitanzania 

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Masoko MultiChoice Tanzania Ronald Shelukindo akizungumza katika uzinduzi huo amesema kwamba kwa mara ya kwanza DSTV imepokea kazi yenye viwango vikubwa ikiwemo mchanganyiko wa wasanii maarufu na wasio maarufu.

Katika hatua nyingine kuelekea marudiano ya michuano ya vilabu bingwa Afrika ambapo Simba na Yanga zinatarajia kucheza michezo yao ambapo Simba watawavaa Al Ahly Ijumaa wiki hii na Yanga wakiwakabilia Mamelod Sundowns siku hiyo hiyo amazitakia kheria huku akisema timu hizo zinauwezo mkubwa wa kutinga hatua ya nusu fainali.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube