BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Monday, April 14, 2025

Friday, 9 October 2015

MAMA SAMIA ASHAMBULIA KWA KAMPENI BAADHI YA MAJIMBO MKOANI MWANZA LEO

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa, jimbo la Magu mkoani Mwanza
 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu, leo katika eneo la Sumve mkoani Mwanza.
 Mwananchi akiwa na bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Kisasa, jimbo la Magu mkoani Mwanza
 MAAJABU: Mbwa aliyekuwa katikakati ya wananchi akipiga push Up 'kumuiga' Mgombea  Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza, Mama samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa, jimbo la Magu mkoani Mwanza
 Msanii wa Bongo Movie anayeunda kundi la Mama Ongea na Mwanao la kupiga kampeni za CCM, Wema Sepetu, akimuombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akijadiliana jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Magu, Kiswaga Destery katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Kisesa mkoani Mwanza , leo.
 Wagombea Udiwani jimbo la Magu, wakiwasalimia wananchi walipotambulishwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Katika mkutano wa kampeni uliofayika leo katika eneo la Kisesa mkoani Mwanza.
 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu, leo katika eneo la Sumve mkoani Mwanza.
 Kijana akiwa na bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza.
 Mgombea Ubuge jimbo la Misungwi, Mansoor Hirani, akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mwanza


 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Anthony Diallo akimkaribisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa kampeni uliofayika leo katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza
 Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu akijadili jambo na Mkuu wa wilaya ya Nyamagana, Baraka Konisaga katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katka eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubuge jimbo la Misungwi, Mansoor Hirani katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mwanza

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube