BREAKING

Monday 16 October 2023

RAIS SAMIA AKIWA ZIARANI SINGIDA -APEWA HESHIMA YA MAMA WA TAIFA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Nchemba wakati wa Mkutano wa Hadhara uliofanyika kwenye Viwanja vya Bombadia Mkoani Singida katika muendelezo wa ziara yake Mkoani humo tarehe 16 Oktoba, 2023


Kwaya ya Utumishi wa Umma ikitumbuiza kwenye Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mkoa wa Singida yaliyofanyika katika uwanja wa Bombadia tarehe 16 Oktoba, 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya Miaka 60 ya Mkoa wa Singida yaliyofanyika katika uwanja wa Bombadia tarehe 16 Oktoba, 2023


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye viwanja vya Bombadia kwa ajili ya kushiriki maadhimisho ya Miaka 60 tarehe 16 Oktoba, 2023


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube