BREAKING

Tuesday 22 January 2019

SPORTSPESA NA DSTV WALIVYODHAMIRIA KUWAPA FURAHA WATANZANIA KATIKA MASHINDANO YA SOKA YA SPORTPESA CUP...

Mkurugenzi wa udhibiti na Utawala Sportpesa ABASS TARIMBA akisisitiza jambo wakati alipozungumza na waandishi wa habari kutangaza rasmi kuanza kwa mashindano ya Sportpesa 2019 yanayoanza Januari 22 ...
 Afisa Masoko na Maudhui wa Multichoice Tanzania Shumbana Walwa 'Shuu" akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa maandalizi ya michuano ya Kombe la SportPesa inayoaanza Januari 22 mwaka huu, Michuano hiyo itaonekana moja kwa moja kupitia DSTV katika kifurushi cha Bomba....


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube