Friday, 16 February 2018
UEFA NDOGO ARSENAL WAPO MOTO, BATSHUAYI ........
Michy Batshuayi ameendelea kufanya vema huku akiendelea kupachika mabao akiwa na kikosi chake kipya cha Borussia Dortmund.
Batshuay amefunga mabao mawili...
MSD YATUNUKIWA ITHIBATI YA JUU YA UBORA
BOHARI ya Dawa (MSD) imeendelea kukidhi viwango vya ubora vya kimataifa katika mfumo wa ununuzi, utunzaji na usambazaji dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara...
09:02
Wednesday, 14 February 2018
RAIS MSTAAFU MKAPA AONGOZA HARAMBEE YA KUCHANGIA MFUKO WA UDHAMINI WA KUDHIBITI UKIMWI
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akihutubia wakati akiongoza harambee ya kuchangia Mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti Ukimwi (ATF) katika hafla iliyofanyika Hoteli ya Serena Dar...
13:05
UKWAA LA NISHATI TANZANIA KUTOA SEMINA KWA WABUNGE

Na Mwandishi Wetu
JUKWAA la Nishati Tanzania linatarajia kutoa semina kwa wabunge ili wapate uelewa wa nishati na changamoto zake, watakapokuwa wanajibu maswali ama...
09:27
Thursday, 8 February 2018
TANESCO SUMBAWANGA YAPOKEA JENERETA YA KUZALISHA UMEME MEGAWATI 10

KITUO cha kufua umeme mkoani Rukwa kimepata jenereta ya
kufua umeme yenye uwezo wakuzalisha MegawatI 10 zitakazoimarisha
uzalishaji wa umeme...
14:15
Tuesday, 6 February 2018
POLEPOLE AMNADI MTULIA KWA KISHINDO KATIKA KATA YA MUZIMUNI, MAGOMENI JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Humphrety Polepole akitema cheche wakati akimnadi Mgombea Ubunge katika uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni Said Maulid...
17:02
Subscribe to:
Posts (Atom)