BREAKING

Friday 16 February 2018

UEFA NDOGO ARSENAL WAPO MOTO, BATSHUAYI ........


 Michy Batshuayi ameendelea kufanya vema huku akiendelea kupachika mabao akiwa na kikosi chake kipya cha Borussia Dortmund.

Batshuay amefunga mabao mawili katika michuano ya Kombe la Europa wakati Dortmund iliposhinda kwa mabao 3-2 dhidi ya Atalanta ya Italia katika michuano ya Eurola League.

Mshambuliaji huyu amejiunga na Dortmund akitokea Chelsea ambayo ilimtoa ili kumpisha Olviere Giroud aliyekuwa anatokea Arsenal.






No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube