BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Saturday, April 05, 2025

Monday, 4 December 2017

WANACHAMA WA SIMBA WAMPA TIMU MO KIULAINIIII...AHAIDI MAKUBWA KATIKA KLABU HIYO


  
Baada ya Mfanyabiashara bilionea kijana zaidi Afrika, Mohammed 
Dewji kushinda zabuni ya kuchukua hisa hadi 50 asilimia katika klabu ya Simba, Mohammed Dewji aliingia ukumbini akiwa anasubiriwa kwa hamu na wanachama wa Simba.

Wanachama hao ndiyo waliopitisha uamuzi huo na kusubiri tume iliyokuwa inasimamia kupitia jaji mstaafu Mohayo kupitia mchakato na baadaye kutangaza.

Baada ya kutangazwa walishangilia kwa nguvu na baadaye Mo Dewji aliingia huku akishangiliwa kwa nguvu na baadaye akapewa nafasi ya kuzungumza na wanachama hao aliowashukuru na baadaye kuwaeleza nia yake na mipango yake ya uwekezaji.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube