BREAKING

Tuesday 18 September 2018

UEFA CHAMPIONS LEAGUE is baack!


DStv wamewasha tena Moto Jumanne hii ambapo msimu mpya wa UEFA Champions league unaanza rasmi, Na ni kwenye Supersport pekee ndipo utaweza kuipata Ligi hii ya Mabingwa wa Ulaya Mubashara!

Barcelona watatufungulia pazia kwa mechi kali dhidi ya PSV itakayochezwa saa 2 usiku na kuruka LIVE kwenye DStv kupitia Supersport 5. Inter Milan itacheza dhidi ya Tottenham Hotspur saa 2 usiku na utaipata mechi hii LIVE kwenye Supersport 6 kifurushi Compact Plus.

Borussia Dortmund wataenda Jan Breydel Stadium kukutana na Club Brugge mechi itakayorushwa LIVE kwenye Supersport 8 ya kifurushi Bomba kwa sh.19, 000 saa 12 jioni.

Mechi nyingine kali Jumanne hii ni kati ya Liverpool dhidi ya PSG itakayochezwa saa 4 usiku kwenye Supersport 5 kifurushi Compact Plus.

Mteja wa DStv, Hakikisha unalipia kifurushi chako kabla hakijakatika ili upate ofa ya kuongezewa chaneli za supersport za kifurushi cha juu kwa kipindi cha siku 7 buree na utaweza kufurahia msimu mpya wa UEFA Champions League.

Kumbuka ukiwa na Application ya DStv Now utaweza kuangalia mechi zote kupitia simu yako ya mkononi, Tablets, Laptop na hata Desktop ukiwa mahali popote wakati wowote bila gharama ya ziada.

DStv sasa inapatikana kwa sh.79, 000 tu unapewa na kifurushi cha mwezi mmoja Bomba buree, Kujiunga piga 0659 070707!
DStv Moto Hauzimi!




No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube