BREAKING

Tuesday 25 September 2018

CHELSEA NA LIVERPOOL JUMAMOSI WIKI HII NDANI YA SUPERSPORT MAMBO NI MOTOOOOO! Supe


Jumamosi hii kwenye Premier League, Wana wa darajani aka the Blues - Chelsea ambao wanashikilia nafasi ya 3 katika msimamo wa Ligi watakuwa wakiwakaribisha vinara wa Ligi wanaoshikilia namba 1, Liverpool. 

Hii ndio mechi nadhani raia wote tunaisubiri kwa hamu. Mechi itapigwa saa 1 na nusu usiku ndani ya Supersport 3 kupitia kifurushi cha Compact kwa sh.69, 000 tu.

Mechi nyingine ni kwenye premier league Jumamosi ni

·      West Ham United vs Manchester United saa 8:30 mchana SuperSport 3 kwenye kifurushi DStvCompact

·      Manchester City vs Brighton saa 10:30 jioni Supersport 10 ya kifurushi DStv Bomb ash.19, 000 tu!
·      Arsenal vs Watford saa 11 jioni kwenye Supersport 5 ya kifurushi DStv Compact Plus

Mteja wa DStv, Lipia kabla akaunti yako kukatika upate ofa ya chaneli za ziada za supersport za kifurushi cha juu kwa kipindi cha siku 7 ufurahie soka kabambe msimu huu bila gharama ya ziada.

Hii ni sababu nyingine ya kufurahia ukilipia kifurushi chako mapema.

Na kumbuka ukiwa na Application ya DStv Now utaweza kuangalia mechi zote kupitia simu yako ya mkononi, Tablets, Laptop na hata Desktop ukiwa mahali popote wakati wowote bila gharama ya ziada.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube