BREAKING

Tuesday 13 March 2018

MAN CITY HAISHIKIKI LIGI YA UINGERZA YAICHAPA STOKE CITY BAO 2-0

 David Silva akiifungia bao la kwanza Manchester City kati ya mabao mawili aliyofunga ambalo la kwanza alifunga dakika ya 10 na la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bet365. 

Man City inafikisha pointi 81 baada ya kucheza mechi 30, ikifuatiwa kwa mbali na Manchester United yenye pointi 65 za mechi 30, kocha Pep Guardiola atahitahji kushinda mechi mbili zaidi kujihakikishia ubingwa wa England






























No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube