BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Thursday, April 10, 2025

Monday, 12 March 2018

AZAM FC HAOOO NAFASI YA PILI, YAITANDIKA MBAO 2-1


Azam FC imerejea tena kwa muda kwenye nafasi ya pili katika msimamo wa ligi, baada ya kuifunga Mbao FC kwa mabao 2-1.

Ikiwa Uwanja wake wa nyumbani, Azam ilianza kupata bao la kwanza kupitia kwa Idd Kipagwile akifunga dakika ya 63.

Baada ya bao hilo, ilichuka dakika saba pekee ambapo Bernard Arthur alifunga bao la pili katika dakika ya 72 ya mchezo.

Bao pekee la Mbao lilifungwa na James Msuva, dakika ya 90 na Emmanuel Mvuyekure.

Matokeo hayo yanifanya Azam kuwa juu ya Yanga kwenye msimamo wa ligi kwa muda, ikifikisha alama 44 dhidi ya Yanga yenye 43.

Yanga itarudi kwenye nafasi endapo itashinda mchezo wake wa kesho dhidi ya Stand United utakaopigwa Uwanja wa Taifa.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube