BREAKING

Wednesday 21 October 2015

WASHINDI WA SHINDANO LA 'GENIUS'-CUP WAZAWADIWA

Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa  mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu  wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.
Wanafunzi Sita Washindi wa Shindano la Genius-Cup (mbele) wakiwa katika picha ya pamoja na vyeti vyao mara baada ya kuibuka washindi. Nyuma yao ni meza kuu katika hafla ya kuwazawadia ikipata picha ya ukumbusho na mabingwa hao. 
Mkurugenzi wa Shule za Fedha Tanzania akizungumza katika hafla ya kuwazawadia washindi wa shindano la Genius-Cup.
Baadhi ya wanafunzi walioingia fainali katika shindano la kuwatafuta washindi wa shindano la Genius-Cup wakifuatilia hafla hiyo jana.
Ofisa Mkuu wa Idara ya Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Fredrick Shuma akizungumza katika hafla ya shindano la Genius-Cup jana.
Baadhi ya walimu na wazazi waliowaleta washiriki na kufanikisha ushindi wao wakiwa katika hafla hiyo jana.
Mgeni rasmi katika hafla ya kuwazawadia washindi wa Shindano la Genius-Cup mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu  wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia (wa pili kulia)  akiwa na viongozi wengine wa meaza kuu. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Feza, Ibrahim Yunus.
Burudani toka kwa wanafunzi ikiendelea...!
Mmoja wa wanafunzi washindi wa shindano la Genius-Cup (kushoto) akipongezwa mara baada ya kupokea cheti na zawadi yake.
Mwanafunzi Shammah Kiunsi (kushoto) wa shule za msingi Mkoa wa Mbeya aliyeibuka msindi wa pili na kujishindia kitita cha shilingi 200,000 akipokea cheti na zawadi yake toka kwa mgeni rasmi katika hafla ya shindano la Genius-Cup jana.
Mmoja wa washindi katika shindano la Genius-Cup, Fuad Thabit (katikati) ambaye ni mshindi wa kwanza kutoka Feza Boys Secondary akipiga picha na viongozi wa meza kuu katika hafla hiyo jana.
WANAFUNZI Sita walioibuka mabingwa wa Shindano la Genius-Cup la masomo ya sayansi na hisabati wamezawadiwa zawadi zao jana katika fainali za mashindano hayo zilizofanyika katika Shule ya Wavulana ya Feza Sekondari iliyopo Tegeta Jijini Dar es Salaam.

Shindano hilo lililoshindanisha shule mbalimbali za msingi na sekondari nchini Tanzania na kuratibiwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kushirikiana na uongozi wa Shule za Feza nchini limejumuisha zaidi ya wanafunzi 1,486 limelenga kukuza vipaji vya wanafunzi hasa masomo ya sayansi na hisabati.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi mara baada ya kumalizika kwa shindano hili, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Feza, Ibrahim Yunus alisema wanafunzi sita walioibuka washindi na kupatia vitita vya fedha ni pamoja na Fuad Thabit mshindi wa kwanza kutoka Feza Boys Secondary aliyejipatia shilingi 300,000 na Zulfa Khamis msindi wa pili toka shule za sekondari Mkoani Tanga aliyejishindia shilingi 200,000.

Bw. Yunus alimtaja mshindi mwingine wa kwanza shule za msingi ni Mvano Michael Cabangoh kutoka shule ya Green Acres aliyejishindia shilingi 300,000 na Shammah Kiunsi mwanafunzi wa shule ya msingi kutoka Mkoa wa Mbeya aliyejishindia kitita cha shilingi 200,000 pamoja na Dorice Ernest Msafiri mshindi wa tatu (msingi) kutoka Mkoa wa Dodoma Ignatius School aliyejinyakulia shilingi 150,000/-.

Akifafanua zaidi Mwalimu Mkuu wa Sekondari ya Wavulana ya Feza, Bw. Yunus alisema wanafunzi walioingia fainali na kukutanishwa kwa pamoja ni 70 kati ya wanafunzi 1,486 walioshiriki katika kinyang'anyiro hicho. Aliongeza kuwa hii ni mara ya pili shindano la GENIUS CUP linafanyika kwani kwa mara ya kwanza lilifanyika mwaka jana huku likilenga kukuza mapenzi ya masomo ya sayansi na hisabati kwa wanafunzi wa Tanzania.

Kwa upande wake Ofisa Mkuu wa Idara ya Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Fredrick Shuma akizungumza kabla ya kukabidhi vyeti kwa wanafunzi washindi aliupongeza uongozi wa shule za fedha nchini kwa kuliendeldeza shindano hilo kwani linachangia kuleta chachu ya mapenzi kwa masomo ya sayansi na hisabati kwa wanafunzi nchini Tanzania ambao wamekuwa wakiyaogopa masomo ya sayansi.

MAMA SAMIA AONYESHA UBORA WAKE KATIKA KAMPENI JIMBO LA MBOZI, MBEYA

Chopa aliyomo Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ikiwasili kwenye Viwanja vya  Mulowo kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya, leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi  baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Mlowo kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika Viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya. Pamoja naye ni Mjumbe wa katai ya kampeni za CCM Kitaifa Mwigulu chemba.
Wananchi wakiwa wamefurika Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Mwananchi akiwa ameweka kiunoni fomu ya kupiga kura inayoonyesha kumchagua Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Dk. John Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Kitaifa Mwigulu Nchemba akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akijadili jambo na Mgomea Ubunge jimbo la Mbozi Godfrey Zambia katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Mlowo mkoani Mbeya leo
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Kitaifa Mwigulu Nchemba akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya leo
Wasanii wa Bongo Movie wanaunda kundi la kampeni za CCM la "Mama Ongea na Mwanao", wakiwa katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa  Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika leo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Kada wa CCM Juliana Shonza akihutuia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofayika eo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Kada wa CCM, Mtela Mwampamba akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo a Mbozi mkoani Mbeya leo
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa mama Samia Suluhu Hassan auliofanyika leo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Mjumbe wa Kamati ya kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba akimuombea Kura  mgombea ubunge jimbo la Mbozi Godfrey Zambia katika mkutnaowa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mbeya.
Mjumbe wa Kamati ya kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba akimuombea Kura  mgombea ubunge jimbo la Mbozi Godfrey Zambia katika mkutnaowa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mbeya.
Wananchi wakimshangilia Mgombea Ubunge jimbo la Mbozi, Godfrey Zambia alipokuwa akiomba kura katika mkutano wa kampeni uliofayika leo katika jimbo hilo mkoani Mbeya
Mgombea Ubunge jimbo la Mbozi mkoani Mbeya Godfre Zambi akiomba kura wakati wa mkutao wa kampeni wa Mama samia uliofanyika leo katika jimbo  hilo la Mbozi mkoani Mbeya
Mjumbe wa Kampeni za CCM Kitaifa, Mwigulu Nchemba,  akiwa na mwanamuziki Ally Choki wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika keo katika jimbo la Mbozi, mkoani Mbeya leo. Kulia ni Kiongozi wa kundi la Mama Ongea na mwanao, Steve Mengere maarufu kwa jina la Steve Nyerere, katika mkutano wa kampeni uliofayika leo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya
Mgombea Ubunge jmbo la Mbozi Godfrey Zambi akiomba kutra baara ya kunadiwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan akatika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mbeya.
ananchi wakishangilia katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya leo
Kiongozi wa kundi lnalounda kikundi cha kampeni cha Mama Ongea na Mwano, Steve Mengere akihutuba mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo Mbozi mkoani Mbeya
Mgombea Ubunge jimbo la Mbozi Godfrey Zambi akipiga push up wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika  leo katika jimbo la hilo mkoani Mbeya leo
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM na Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya


Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia wananci katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya leo

Wednesday 14 October 2015

MAMA SAMIA AANZA KAMPENI MKOANI KAGERA LEO, AWANADI KAGASHEKI NA MWIJAGE


Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Vijana wa Buseresere, wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samaia Suluhu Hassan, msafara wake uliposimamishwa na vijana katika eneo hilo wakati akiwa  njiani kutoka Geita kwenda Bukoba mkoani Kagera leo
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipozunguza na waliposimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Wananchi Buseresere
Mwana mama akiwa kazini wakati msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan aliposimamishwa na wananchi katika eneo la Buseresere mkoai Geita leo
Wananchi wakitazama msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, ulipopita eneo la  Chato mkoani Kagera, huku wakiwa karibu na bango la shule inayotumia jina a Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Dk. John Magufuli
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasalimia katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipowahutubia waliposimamisha msafara wake katika eneo la Chato mkoani Geita leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Chato kwa tiketi ya CCM, Dk. Karineli katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo.
Wananchi wakimshangilia Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan alipowahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Chato mkoani Geita leo
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama samia suluhu Hassan ukiendelea na safari kwenda Muleba mkoani Kagera leo
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama samia suluhu Hassan ukiendelea na safari kwenda Muleba mkoani Kagera leo
Mama akiwa na mwanae wakati wa mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera leo
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo katika jimbo la Muleba Kaskazini.
Mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera, Charles Mwijage akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo
  Bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Jihn Magufuli katika mkutano wa kampeni jimbo la Muleba Kaskazini likiwa limeinuliwa kumfikishia ujumbe Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan.
Wananchi wakishangilia kwenye mkutano wa kampeni jimbo la Muleba Kaskaskazini
Kazi na dawa!
Mtoto akimfuata mwenzake kumnyang'anyana kijibendera cha CCM, wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama samia uliofanyika jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera leo
Kisha wakanyang'anyana kama hivi
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kaskazini Charles Mwijage wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo. Kulia ni Mgombea Ubunge jimbo la Meleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka.
Wagombea Udiwani jimbo la Muleba Kaskazini, wakiwasalimia wanachi walipotambulishwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiagana na wagombea Udiwani katika jimbo la Muleba Kaskazini, baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo. Kulia ni Mratibu wa kampeni za Mama Samia, Anhela Kizigha.
Mama Samia akiaga. wapili kushoto ni Profesa Anna Tibaijuka na watatu ni Charles Mwijage.
Kamachumu
Katerero
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akijadili jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Bukoba mjini, Balozi Hamis Kagasheki, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Kagera.
Msanii wa Bongo Movie Wema Sepetu akimuombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Bukoba mjini mkoani Kagera leo
Watu wakiserebuka wakati wa shamrashamra kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Bukoba Mjini
Mkuu wa mkoa wa Kagera, John Mongela akijadili jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Bukoba Mjini Balozi Hamis Kagasheki wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Bukoba Mjini mkoani Kagera leo
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni uiofanyika leo katika jimbo la Bukoba Mjini mkoani Kagera leo
Mgomea Ubunge jimbo la Bukoba mjini,Balozi Hamis Kagasheki akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo
Mbunge wa Afrika Mashariki ambaye pia ni Mratibu wa Kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na wadau wa kampeni za Mama Samia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Bukoba Mjini mkoani Kagera. Kushoto ni Mwanamuziki Ally Choky maarufu kwa jina na Mzee wa Farasi na Kiongozi wa kundi la Kampeni la Mama Ongea na Mwano, Steven Mengere au Steve Nyerere.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Bukoba Mjini mkoani Kagera
 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube