Leo ni Nusu fainali ya michuano ya Mapinduzi ambapo Yanga watawakabili Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Aman Zanzibar.
Mchezo huo utapigwa jioni ya leo ambapo watani wao wa jadi Simba watashuka Dimbani kumenyana na Mabingwa wa kombe hilo Azam FC na iwapo timu hizo zenye upinzani mkubwa zitakutana fainali basi kwa msimu huuu watakuwa wamekutana mara mbili na huenda wakakutana mara tatu ......
No comments:
Post a Comment