BREAKING

Friday 26 July 2019

LUKAKU AICHUNGULIA KWA MBAALI MAN U!....


Romelu  Lukaku Muda mchache mara baada ya Manchester United kurejea England ikitokea ziarani barani Asia amekwea pipa kuelekea nchini Ubelgiji.

Habari zinaeleza kuwa Lukaku ameamua kwenda kwao Ubelgiji kwa ajili ya kukamilisha mazungumzo na Inter Milan ya Italia.

Mipango ikamilika huenda msimu ujao akaitumikia timu ya Inter Milan ambao wamekuwa wakihaha kuipata saini yake.

United imewaambia Inter Milan wafanye haraka kusaka mkwanja kabla ya gosti 8 wakichelewa hawatampata tena na dau ambalo wanataka ni pauni milioni 75.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube