BREAKING

Friday 26 July 2019

LIONEL MESSI KIBOKO YA RONALDO KWA MKWANJA...


Lionel  Messi mshambuliaji wa Barcelona inayoshiriki La Liga yeye anaongoza kwa kukunja mkwanja mrefu kuliko wengine wanaopiga soka kwa sasa.

Kwa mwezi anakunja euro milioni 8.3 sawa na shilingi bilioni 21.3 kwa mwezi, hapo ni kabla ya kodi.

Cristiano Ronaldo kwenye Ligi ya Serie A yeye ni namba moja anakipiga Juventus, kwa mwezi anakunja euro 4,7 
shilingi bilioni 12.1 kwa mwezi ni kinara ndani ya Seria A.

Neymar Jr yupo Ligue 1 anakunja euro milioni 3.6 kwa mwezi sawa na shilingi bilioni 7.8.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube