Friday, 29 March 2019
WASHINDI 15 WAPATIKANA KATIKA PROMOSHENI YA TIA KITU PATA VITUZ NA DSTV
Mkuu wa Uhusiano wa MultiChoice Tanzania Johnson Mshana (Kushoto) Akizungumza wakati wa droo ya tano ya Promosheni ya Tia Kitu pata vituz, Kulia ni Afisa wa Bodi...
Friday, 22 March 2019
RAYVAN AMKAMATA WAZIRI MWAKYEMBE KUELEKEA MECHI YA STARS NA UGANDA KUFUZU AFCON SIKU YA JUMAPILI
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe jana alibaki na mshangao baada ya kumuona msanii wa bongo fleva Raymond Shaban akirekodi wimbo video...
12:32
DSTV YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHEN YA TIA KITU PATA VITUZ!

Meneja Masoko wa MultiChoice Tanzania Ronald Shelukindo akichezesha droo ya kupata washindi wa huku Afisa Mwandamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Humudi...
12:27
Thursday, 14 March 2019
SIMBA HAITANII!! YAAPA JUMAMOSI ITAKUWA VITA YA KISASI....

Timu ya Simba itakuwa uwanjani kuvaana na AS Vita kwenye mchezo mgumu wa kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika siku ya Jumamosi katika Dimba la kisasa la Taifa. Kama...
14:15
UWANJA WA SOKA WA KISASA ULIVYOINUA DODOMA ....

Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wataalamu wa Tanzania na Misri wanaoshughulikia ujenzi wa uwanja wa michezo katika Jiji la Dodoma, unaotarajiwa...
14:12
Wednesday, 6 March 2019
TANZANIA YAIBUKA KIDEDEA TUZO ZA KIMATAIFATA

Mkuu wa Uhusiano wa MultiChoice Tanzania Johnson Mshana (Kulia) na Afisa Uhusiano wa kampuni hiyo Grace Mgaya (kushoto) wakikabidhi seti ya DStv kwa mkuu wa shule ya...
17:08
Subscribe to:
Posts (Atom)