BREAKING

Monday 28 December 2015

YANGA YAVUNJA MKATABA NA NIYONZIMA,YAMUAMURU KULIPA KITITA CHA FEDHA DOLA ZA KIMAREKANI ZAIDI YA 71 ELFU





Uongozi wa Klabu ya Soka ya Yanga umetangaza kuachana na kiungo wa Yanga ambaye pia ni Nahodha wa timu ya taifa ya Rwanda Haruna Niyonzima baada ya nyota huyo kuelezwa kuwa amekuwa na utovu wa nidhamu kwa muda mrefu.

Uongozi huo umeachana na Nyota huyo, huku wakimdai kuwalipa Yanga kiasi cha Dola za kimarekani zaidi ya  elfu 71.

Kuvunjwa kwa mkataba huo na Yanga kumekuja baada ya Nionzima kushindwa kufika kwa wakati katika kambi ya timu hiyo mara baada ya kwenda kwao kuitumikia timu ya Taifa , kwani hata mara baada ya kurejea nyota huyo hakufika kambini kwa wakati.



No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube