BREAKING

Wednesday 6 September 2023

KLABU YA ROTARY TANZANIA 'YAMWAGA' MADAWATI 100 SHULE YA MSINGI MTAKUJA...








Klabu ya Rotary Tanzania  imekabidhi msaada wa  wa Madawati mia moja katika shule ya msingi mtakuja iliyopo Kata ya kunduchi Jijini Dar es Salaam ikiwa ni mwendelezo wao wa kurudisha kwa Jamiii

Akingumza kwa niaba ya Klabu hiyo Ezra Kavana ambaye ni  Mkurugenzi wa vijana Rotary amesema  mbali na kutoa msaada wa madawati hayo wametoa vitabu mia tano vya hadithi ,mipira kumi na kalamu elfu moja

Ameongezea kwa kusema msaada huo unalenga kuonyesha mchango wao katika jamii na kuisaidia huku Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Anna Hendry  akibainisha kwamba Msaada huo utawasaidia  katika elimu akitumia wasaa huo kuwaomba wanajamii na taasisi zingine kuwa unga mkono.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube