BREAKING

Wednesday 20 January 2021

ZLATAN APIGA ZOTE AC MILAN YASHINDA 2-0 NA KUPAA KILELENI



Zlatan Ibrahimovic jana amefunga mabao yote mawili dakika ya saba kwa penalti na 52, AC Milan ikiichapa Cagliari 2-0 katika mchezo wa Serie A Uwanja wa Sardegna Arena, Cagliari.
Sasa AC Milan inafikisha pointi 43 na kuendelea kuongoza Serie A  kwa pointi tatu zaidi ya mahasimu wao wa Jiji, Inter Milan (43-40) baada ya wote kuchezsa mechi 18


AC Milan beat Cagliari in their Serie A clash on Monday evening to reopen a three-point gap
Striker Zlatan Ibrahimovic scored twice on his first Serie A start since returning from injury
Milan are on 43 points, three ahead of city rivals Inter Milan, and 10 clear of Juventus in fifth




No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube