BREAKING

Wednesday 13 January 2021

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE -KULA CHAKULA NA WATOTO YATIMA UKUMBI WA KIBADA GARDEN -KIGAMBONI MUFTI WA TANZANIA ALI KIBA , KUJUMUIKA...







 Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt.Jakaya Kikwete anatarajiwa kushiriki chakula cha Mchana na watoto yatima wa kituo cha Amani Foundation For ORPHANAGES -Kigamboni January 16 mwaka huu.. 

Wageni wengine ambao wanatarajiwa kushiriki katika Chakula cha Mchana katika tukio ambalo litaambatana na uchangiaji Uimarishaji wa Kituo hicho ni pamoja na Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Bin Zubeiry Ally, Sheikh Mkuu wa Mkoa Alhad Mussa Salum  ,Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt.Faustine Ndugulile  sambamba na Mwanamuziki wa kizazi kipya Ali Kiba....

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube