BREAKING

Tuesday 26 February 2019

BENKI YA STANDARD CHARTERED KUWEZESHA HUDUMA ZA KIBENKI ZAIDI YA 70 KIDIGITALI

 Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Dk. Bernard Kibesse,akihutubia wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa programu ya Standard Chartered Tanzania Digital App.
 Afisa Mtendaji Mkuu wa Standard Chartered Tanzania, Sanjay Rughani akihutubia wageni waalikwa katika hafla ya uzi nduzi wa programu ya Standard Chartered Tanzania Digital App uliofanyika katika hoteli ya Hyatt.
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Kibesse (Kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered Tanzania, Sanjay Rughani,Balozi wa Programu mpya ilizozinduliwa,Vanessa Mdee na Mkuu wa huduma za kibenki wa wateja wadogo wa Benki hiyo, Ajmair Riaz ,wakionyesha miondoko ya UNSTOPABLE wakati wa hafla ya uzinduzi

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube