BREAKING

Friday 29 September 2023

MPUTA AGROVET :MABINGWA WA KUUZA VIUWATILIFU NA MBEGU MBALIMBALI ZA KILIMO WALIO KWENYE RAMANI YA MH.RAIS DKT .SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE KILIMO







 Wakala wakuu wa uuzaji na usambazaji wa mbegu za Kilimo sambamba na Viuwatilifu kampuni ya Mputa Agrovet wameendelea kuwakaribisha wateja wake katika Soko Kuu la Kibiashara la KISUTU Jijini Dar es Salaam.

Duka la Uuzaji Mbegu na madawa mbalimbali ya kilimo linapatikana katika Gorofa ya tatu ambapo pamoja na uuzaji wa dawa na mbegu za kilimo pia ni watoaji wa elimu bora ya kilimo na utumiaji wa dawa kwa matumizi yake....



Wednesday 6 September 2023

KLABU YA ROTARY TANZANIA 'YAMWAGA' MADAWATI 100 SHULE YA MSINGI MTAKUJA...








Klabu ya Rotary Tanzania  imekabidhi msaada wa  wa Madawati mia moja katika shule ya msingi mtakuja iliyopo Kata ya kunduchi Jijini Dar es Salaam ikiwa ni mwendelezo wao wa kurudisha kwa Jamiii

Akingumza kwa niaba ya Klabu hiyo Ezra Kavana ambaye ni  Mkurugenzi wa vijana Rotary amesema  mbali na kutoa msaada wa madawati hayo wametoa vitabu mia tano vya hadithi ,mipira kumi na kalamu elfu moja

Ameongezea kwa kusema msaada huo unalenga kuonyesha mchango wao katika jamii na kuisaidia huku Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Anna Hendry  akibainisha kwamba Msaada huo utawasaidia  katika elimu akitumia wasaa huo kuwaomba wanajamii na taasisi zingine kuwa unga mkono.
 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube